Motorcycle loans scam?
Simon Mulwa had paid Ksh 215,200 of the Ksh 257,000 loan for the motorcycle he acquired.
Mulwa told IsuniTv he acquired the motorcycle in April 2022 and has been paying Ksh 3,329 weekly to service the loan.
His hopes to change his life have now been dashed by what he suspects to be an inside job that saw his only source of income taken away.
"Pikipiki yangu ilishikwa na riderhttps://www.highcpmrevenuegate.com/pu7xgb2m?key=cd3f708c7c658686246280353c59c8ab ikapelekwa Kasarani. Nilipoenda huko, niliambiwa ju ni ya loan, lazima kampuni ndio ikuje iitoe. Nilipigia kampuni simu wakaniambia eti tracker ilikua imetolewa. Walipotoa hiyo pikipiki, sikupewa ufunguo. Waliita mfanyikazi mmoja hapo akashikanisha direct nikaenda nayo," Simon narrated.
"Nilikaa na pikipiki siku tatu ndio nikakujiwa na watu wawili walisema wametumwa na kampuni wakaninyang'anya pikipiki. Nilipopiga simu huko niliambiwa watafuatilia, saizi wanasema hawakutuma mtu yeyote. Hawashiki simu zangu, nimetumia mbinu zote kufuatilia lakini sijafanikiwa na niko jobless."https://www.highcpmrevenuegate.com/qmkzez5e?key=48f317eb7be4945227266866b3154cbehttps://www.highcpmrevenuegate.com/qmkzez5e?key=48f317eb7be4945227266866b3154cbe
"I only want someone to help me file a case against them coz niko na evidence waliniibia motorbike yangu," he added.
Comments
Post a Comment